Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “‘Msifanye ukosefu wa haki katika hukumu. Usiwatendee watu wa hali ya chini kwa njia ya ubaguzi,+ wala usimpendelee mtu mkuu.+ Utamhukumu mwenzako kwa haki.

  • Kumbukumbu la Torati 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Msipendelee katika hukumu.+ Msikilizeni mdogo sawa na mkubwa.+ Msiogope kwa sababu ya mwanadamu,+ kwa maana hukumu ni ya Mungu;+ na kesi ambayo ni ngumu mno kwenu, nileteeni, nami nitaisikiliza.’+

  • Methali 24:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Maneno haya pia ni kwa ajili ya watu wenye hekima:+ Kuonyesha upendeleo katika hukumu si jambo zuri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki