2 Mambo ya Nyakati 30:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Sasa msiwe wakaidi kama mababu zenu.+ Jinyenyekezeni kwa Yehova, nanyi mje mahali pake patakatifu+ ambapo amepatakasa milele, mumtumikie Yehova Mungu wenu, ili hasira yake inayowaka iwaondokee.+
8 Sasa msiwe wakaidi kama mababu zenu.+ Jinyenyekezeni kwa Yehova, nanyi mje mahali pake patakatifu+ ambapo amepatakasa milele, mumtumikie Yehova Mungu wenu, ili hasira yake inayowaka iwaondokee.+