Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 36:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Tazama! Mungu ni mwenye nguvu+ wala hatakataa;

      Yeye ana uwezo wa nguvu za moyo;

  • Zaburi 104:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+

      Zote umezifanya kwa hekima.+

      Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+

  • Isaya 40:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Inueni macho yenu juu, mwone. Ni nani ameviumba vitu hivi?+ Ni Yeye anayelileta jeshi lake kulingana na hesabu, ambaye zote anaziita kwa jina.+ Kutokana na wingi wa nguvu zenye msukumo,+ yeye pia akiwa hodari katika nguvu, hakuna hata moja kati ya hizo inayokosekana.

  • Danieli 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Danieli akajibu na kusema: “Jina la Mungu na libarikiwe+ kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo, maana hekima na nguvu ni zake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki