1 Mambo ya Nyakati 29:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Daudi akaendelea kuliambia kutaniko lote:+ “Sasa mbarikini+ Yehova, Mungu wenu.” Nalo kutaniko lote wakambariki Yehova, Mungu wa mababu zao, wakainama+ na kumsujudia+ Yehova na mfalme. Zaburi 34:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nitambariki Yehova nyakati zote;+Daima sifa yake itakuwa katika kinywa changu.+ Zaburi 72:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na abarikiwe Yehova Mungu, Mungu wa Israeli,+Ambaye peke yake anafanya kazi za ajabu.+ Zaburi 113:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Jina la Yehova na libarikiwe+Kutoka sasa mpaka wakati usio na kipimo.+
20 Na Daudi akaendelea kuliambia kutaniko lote:+ “Sasa mbarikini+ Yehova, Mungu wenu.” Nalo kutaniko lote wakambariki Yehova, Mungu wa mababu zao, wakainama+ na kumsujudia+ Yehova na mfalme.