-
1 Mambo ya Nyakati 29:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Kisha Daudi akaliambia kutaniko lote: “Sasa msifuni Yehova Mungu wenu.” Na kutaniko lote likamsifu Yehova Mungu wa mababu zao, wakainama chini na kumsujudia Yehova na mfalme.
-