1 Mambo ya Nyakati 16:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli, kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.’”+Na watu wote wakasema, “Amina!” na sifa kwa Yehova.+ Zaburi 134:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Inueni mikono yenu katika utakatifu+Na kumbariki Yehova.+ Zaburi 145:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 145 Nitakutukuza, Ee Mungu wangu Mfalme,+Nami nitalibariki jina lako mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+ Waefeso 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Abarikiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ kwa kuwa ametubariki+ kwa kila aina ya baraka ya kiroho katika mahali pa kimbingu+ katika muungano na Kristo,
36 Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli, kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.’”+Na watu wote wakasema, “Amina!” na sifa kwa Yehova.+
145 Nitakutukuza, Ee Mungu wangu Mfalme,+Nami nitalibariki jina lako mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+
3 Abarikiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ kwa kuwa ametubariki+ kwa kila aina ya baraka ya kiroho katika mahali pa kimbingu+ katika muungano na Kristo,