Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli, kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.’”+

      Na watu wote wakasema, “Amina!” na sifa kwa Yehova.+

  • Zaburi 134:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Inueni mikono yenu katika utakatifu+

      Na kumbariki Yehova.+

  • Zaburi 145:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 145 Nitakutukuza, Ee Mungu wangu Mfalme,+

      Nami nitalibariki jina lako mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+

  • Waefeso 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Abarikiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ kwa kuwa ametubariki+ kwa kila aina ya baraka ya kiroho katika mahali pa kimbingu+ katika muungano na Kristo,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki