Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao Walawi, Yeshua na Kadmieli, Bani, Hashabneya, Sherebia, Hodia, Shebania na Pethahia wakasema: “Simameni, mbarikini+ Yehova Mungu wenu milele na milele.+ Na walibariki jina lako tukufu,+ ambalo limeinuliwa juu ya baraka na sifa zote.

  • Zaburi 69:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo,+

      Nami nitamtukuza kwa kutoa shukrani.+

  • Zaburi 69:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Hilo pia litampendeza Yehova kuliko ng’ombe-dume,+

      Kuliko ng’ombe-dume mchanga mwenye pembe, mwenye kwato zilizogawanyika.+

  • Zaburi 72:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na jina lake tukufu na libarikiwe mpaka wakati usio na kipimo,+

      Nao utukufu wake na uijaze dunia yote.+

      Amina na Amina.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki