Nehemia 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao Walawi, Yeshua na Kadmieli, Bani, Hashabneya, Sherebia, Hodia, Shebania na Pethahia wakasema: “Simameni, mbarikini+ Yehova Mungu wenu milele na milele.+ Na walibariki jina lako tukufu,+ ambalo limeinuliwa juu ya baraka na sifa zote. Zaburi 69:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo,+Nami nitamtukuza kwa kutoa shukrani.+ Zaburi 69:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Hilo pia litampendeza Yehova kuliko ng’ombe-dume,+Kuliko ng’ombe-dume mchanga mwenye pembe, mwenye kwato zilizogawanyika.+ Zaburi 72:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na jina lake tukufu na libarikiwe mpaka wakati usio na kipimo,+Nao utukufu wake na uijaze dunia yote.+Amina na Amina.
5 Nao Walawi, Yeshua na Kadmieli, Bani, Hashabneya, Sherebia, Hodia, Shebania na Pethahia wakasema: “Simameni, mbarikini+ Yehova Mungu wenu milele na milele.+ Na walibariki jina lako tukufu,+ ambalo limeinuliwa juu ya baraka na sifa zote.
31 Hilo pia litampendeza Yehova kuliko ng’ombe-dume,+Kuliko ng’ombe-dume mchanga mwenye pembe, mwenye kwato zilizogawanyika.+
19 Na jina lake tukufu na libarikiwe mpaka wakati usio na kipimo,+Nao utukufu wake na uijaze dunia yote.+Amina na Amina.