8 Na sasa, mbele ya macho ya Israeli wote, kutaniko la Yehova,+ na masikioni pa Mungu wetu,+ iweni waangalifu na mtafute amri zote za Yehova, Mungu wenu, ili mpate kuimiliki nchi hii nzuri,+ na mpate kuipitisha kuwa urithi kwa wana wenu baada yenu mpaka wakati usio na kipimo.