1 Mambo ya Nyakati 16:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli, kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.’”+Na watu wote wakasema, “Amina!” na sifa kwa Yehova.+ Zaburi 106:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli+kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo;+Na watu wote waseme Amina.+Msifuni Yah!
36 Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli, kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.’”+Na watu wote wakasema, “Amina!” na sifa kwa Yehova.+
48 Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli+kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo;+Na watu wote waseme Amina.+Msifuni Yah!