Zaburi 24:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Basi, Mfalme huyo mtukufu ni nani?”+“Yehova mwenye nguvu na mwenye uwezo,+Yehova mwenye uwezo katika vita.”+ Zaburi 99:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na kwa nguvu za mfalme ameipenda hukumu.+Wewe mwenyewe umeufanya imara unyoofu.+Umetekeleza hukumu na uadilifu katika Yakobo.+ Yeremia 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wewe unayeonyesha fadhili zenye upendo kuelekea maelfu,+ na kulipa kosa la akina baba katika vifua vya wana wao baada yao,+ Mungu wa kweli, aliye Mkuu,+ Mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi+ ndilo jina lake,+
8 “Basi, Mfalme huyo mtukufu ni nani?”+“Yehova mwenye nguvu na mwenye uwezo,+Yehova mwenye uwezo katika vita.”+
4 Na kwa nguvu za mfalme ameipenda hukumu.+Wewe mwenyewe umeufanya imara unyoofu.+Umetekeleza hukumu na uadilifu katika Yakobo.+
18 Wewe unayeonyesha fadhili zenye upendo kuelekea maelfu,+ na kulipa kosa la akina baba katika vifua vya wana wao baada yao,+ Mungu wa kweli, aliye Mkuu,+ Mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi+ ndilo jina lake,+