Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 14:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mwenye hekima huogopa na kuepuka ubaya,+ lakini mjinga anakuwa na ghadhabu na mwenye kujitumaini.+

  • Methali 28:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mwenye furaha ni mtu anayehofu sikuzote,+ lakini yeye anayeufanya moyo wake kuwa mgumu ataanguka katika msiba.+

  • Isaya 30:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “Ole wao wana wakaidi,”+ asema Yehova, “wale walio na mwelekeo wa kutekeleza shauri, lakini si la kutoka kwangu;+ na kumimina toleo la kinywaji, lakini si kwa roho yangu, ili kuongeza dhambi juu ya dhambi;+

  • Danieli 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini moyo wake ulipojivuna na roho yake ikawa ngumu, akatenda kwa kimbelembele,+ alishushwa kutoka katika kiti cha ufalme wake, akaondolewa heshima yake.+

  • Zekaria 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nayo mioyo yao+ wakaifanya kuwa kama jiwe gumu ili isitii sheria+ na maneno ambayo Yehova wa majeshi alipeleka kwa roho yake,+ kupitia manabii wa kale;+ hata Yehova wa majeshi akakasirika sana.”+

  • Waroma 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini kulingana na ugumu+ wako na moyo wako usiotubu+ unajiwekea mwenyewe akiba ya ghadhabu+ katika siku ya ghadhabu+ na ya kufunuliwa+ kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+

  • 1 Wakorintho 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Au je, “tunamchochea Yehova kuwa na wivu”?+ Je, sisi tuna nguvu+ zaidi kuliko yeye?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki