Mwanzo 39:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi mwanamke huyo akamshika kwa vazi lake,+ akisema: “Lala nami!”+ Lakini akaliacha vazi lake mkononi mwake, akakimbia na kwenda nje.+ 1 Wathesalonike 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Jiepusheni na kila namna ya uovu.+
12 Basi mwanamke huyo akamshika kwa vazi lake,+ akisema: “Lala nami!”+ Lakini akaliacha vazi lake mkononi mwake, akakimbia na kwenda nje.+