18 Ukimbieni uasherati.+ Kila dhambi nyingine ambayo mtu huenda akafanya iko nje ya mwili wake, lakini yeye aliye na mazoea ya kufanya uasherati anautendea dhambi mwili+ wake mwenyewe.
22 Kwa hiyo, zikimbie tamaa zinazotukia ujanani,+ lakini fuatilia uadilifu,+ imani, upendo, amani,+ pamoja na wale wanaomwitia Bwana kutokana na moyo safi.+