Isaya 29:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ole wao wanaojizamisha ndani sana katika kuficha shauri kutoka kwa Yehova,+ na ambao matendo yao yamefanyika mahali penye giza,+ huku wakisema: “Ni nani anayetuona, na ni nani anayejua habari zetu?”+ Hosea 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao watakula, lakini hawatashiba.+ Watawatendea wanawake kama makahaba; lakini hawataongezeka,+ kwa sababu wameacha kumjali Yehova.+ 1 Wathesalonike 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo, basi, mtu anayepuuza+ hampuuzi mwanadamu, bali Mungu,+ anayeitia roho yake takatifu+ ndani yenu.
15 Ole wao wanaojizamisha ndani sana katika kuficha shauri kutoka kwa Yehova,+ na ambao matendo yao yamefanyika mahali penye giza,+ huku wakisema: “Ni nani anayetuona, na ni nani anayejua habari zetu?”+
10 Nao watakula, lakini hawatashiba.+ Watawatendea wanawake kama makahaba; lakini hawataongezeka,+ kwa sababu wameacha kumjali Yehova.+
8 Kwa hiyo, basi, mtu anayepuuza+ hampuuzi mwanadamu, bali Mungu,+ anayeitia roho yake takatifu+ ndani yenu.