Yeremia 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nanyi mmetenda mambo mabaya zaidi kuliko mababu zenu,+ na kila mmoja wenu anaufuata ukaidi wa moyo wake mwovu badala ya kunitii.+
12 Nanyi mmetenda mambo mabaya zaidi kuliko mababu zenu,+ na kila mmoja wenu anaufuata ukaidi wa moyo wake mwovu badala ya kunitii.+