23 Ndipo jambo hilo likachunguzwa na kujulikana mwishowe, na wote wawili wakatundikwa+ juu ya mti;+ kisha hayo yakaandikwa katika kitabu cha mambo+ ya siku mbele ya mfalme.
13 Kristo kwa kutununua+ alituachilia huru+ kutoka katika laana ya Sheria kwa yeye kuwa laana+ badala yetu, kwa sababu imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu aliyetundikwa juu ya mti.”+