21 Ndipo watu wote wa jiji watampiga kwa mawe, naye lazima afe. Kwa hiyo mtaondolea mbali kilicho kibaya kutoka kati yenu, na Israeli wote watasikia na kuogopa kwelikweli.+
13 Kwa hiyo Esta akasema: “Ikiwa kwa mfalme inaonekana vema,+ Wayahudi walio katika Shushani na wapewe ruhusa kesho pia kufanya kulingana na sheria ya leo;+ na hao wana kumi wa Hamani watundikwe juu ya mti.”+