Hesabu 25:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndipo Musa akawaambia waamuzi wa Israeli:+ “Kila mmoja wenu awaue+ watu wake ambao wameshikamana na Baali wa Peori.” 2 Samweli 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi Daudi akawaamuru vijana, nao wakawaua,+ wakaikata mikono yao na miguu yao na kuwatundika+ kando ya kidimbwi kilicho katika Hebroni; nao wakakichukua kichwa cha Ish-boshethi, wakakizika katika kaburi la Abneri kule Hebroni.+
5 Ndipo Musa akawaambia waamuzi wa Israeli:+ “Kila mmoja wenu awaue+ watu wake ambao wameshikamana na Baali wa Peori.”
12 Basi Daudi akawaamuru vijana, nao wakawaua,+ wakaikata mikono yao na miguu yao na kuwatundika+ kando ya kidimbwi kilicho katika Hebroni; nao wakakichukua kichwa cha Ish-boshethi, wakakizika katika kaburi la Abneri kule Hebroni.+