Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Mtu anayetoa dhabihu kwa miungu yoyote isipokuwa kwa Yehova peke yake ataangamizwa.+

  • Kutoka 32:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Sasa akawaambia: “Hivi ndivyo Yehova Mungu wa Israeli amesema, ‘Kila mmoja wenu na auweke upanga wake kwenye paja lake. Piteni kati na kurudi toka lango mpaka lango katika kambi na kuua kila mtu ndugu yake na kila mtu mwenzake na kila mtu rafiki yake.’”+

  • Kumbukumbu la Torati 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 usikubali nia yake wala kumsikiliza,+ wala jicho lako lisimsikitikie,+ wala usione huruma, wala kumficha kwa kumlinda;

  • Kumbukumbu la Torati 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 bali lazima umuue.+ Mkono wako utakuwa wa kwanza kuja juu yake ili kumuua, nao mkono wa watu wote baadaye.+

  • 1 Wafalme 18:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Kisha Eliya akawaambia: “Wakamateni manabii wa Baali! Msiache hata mmoja wao aponyoke!” Ndipo wakawakamata mara moja, na Eliya akawashusha mpaka kwenye bonde la mto la Kishoni,+ akawaua huko.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki