27 Sasa akawaambia: “Hivi ndivyo Yehova Mungu wa Israeli amesema, ‘Kila mmoja wenu na auweke upanga wake kwenye paja lake. Piteni kati na kurudi toka lango mpaka lango katika kambi na kuua kila mtu ndugu yake na kila mtu mwenzake na kila mtu rafiki yake.’”+
40 Kisha Eliya akawaambia: “Wakamateni manabii wa Baali! Msiache hata mmoja wao aponyoke!” Ndipo wakawakamata mara moja, na Eliya akawashusha mpaka kwenye bonde la mto la Kishoni,+ akawaua huko.+