Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Mtu anayetoa dhabihu kwa miungu yoyote isipokuwa kwa Yehova peke yake ataangamizwa.+

  • Kutoka 32:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Sasa akawaambia: “Hivi ndivyo Yehova Mungu wa Israeli amesema, ‘Kila mmoja wenu na auweke upanga wake kwenye paja lake. Piteni kati na kurudi toka lango mpaka lango katika kambi na kuua kila mtu ndugu yake na kila mtu mwenzake na kila mtu rafiki yake.’”+

  • Hesabu 25:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo Musa akawaambia waamuzi wa Israeli:+ “Kila mmoja wenu awaue+ watu wake ambao wameshikamana na Baali wa Peori.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki