2 Samweli 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kisha Daudi akawaamuru vijana wake wawaue.+ Wakawakata mikono na miguu yao na kuwatundika+ kando ya kidimbwi kilicho Hebroni. Lakini wakachukua kichwa cha Ish-boshethi na kukizika katika kaburi la Abneri huko Hebroni.
12 Kisha Daudi akawaamuru vijana wake wawaue.+ Wakawakata mikono na miguu yao na kuwatundika+ kando ya kidimbwi kilicho Hebroni. Lakini wakachukua kichwa cha Ish-boshethi na kukizika katika kaburi la Abneri huko Hebroni.