2 Samweli 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi Daudi akawaamuru vijana, nao wakawaua,+ wakaikata mikono yao na miguu yao na kuwatundika+ kando ya kidimbwi kilicho katika Hebroni; nao wakakichukua kichwa cha Ish-boshethi, wakakizika katika kaburi la Abneri kule Hebroni.+
12 Basi Daudi akawaamuru vijana, nao wakawaua,+ wakaikata mikono yao na miguu yao na kuwatundika+ kando ya kidimbwi kilicho katika Hebroni; nao wakakichukua kichwa cha Ish-boshethi, wakakizika katika kaburi la Abneri kule Hebroni.+