10 Aliandika agizo hilo katika jina la Mfalme Ahasuero na kulitia muhuri kwa pete ya mfalme,+ kisha akatuma barua za agizo hilo kupitia wajumbe walioendesha farasi; farasi hao wenye mbio walitumiwa kusafirisha barua, nao walizalishwa kwa ajili ya utumishi wa mfalme.