1 Wafalme 8:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 basi na usikie ukiwa mbinguni, nawe utende na kuwahukumu watumishi wako kwa kumtangaza yule mwovu kuwa mwovu kwa kutia njia yake juu ya kichwa chake mwenyewe,+ na kwa kumtangaza mwadilifu+ kuwa mwadilifu kwa kumpa kulingana na uadilifu wake.+ Isaya 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Semeni kwamba itakuwa vema kwa mwadilifu,+ kwa maana watakula matunda ya matendo yao.+
32 basi na usikie ukiwa mbinguni, nawe utende na kuwahukumu watumishi wako kwa kumtangaza yule mwovu kuwa mwovu kwa kutia njia yake juu ya kichwa chake mwenyewe,+ na kwa kumtangaza mwadilifu+ kuwa mwadilifu kwa kumpa kulingana na uadilifu wake.+