32 basi usikie kutoka mbinguni na kuchukua hatua na kuwahukumu watumishi wako kwa kumtangaza yule mwovu kuwa na hatia na kumwadhibu kwa sababu ya jambo alilotenda, na kumtangaza mwadilifu kuwa asiye na hatia na kumthawabisha kulingana na uadilifu wake mwenyewe.+