Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 35:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “‘Lakini ikiwa muuaji asiyekusudia atatoka nje ya mipaka ya jiji la makimbilio ambalo amekimbilia,

  • Yoshua 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na itatukia kwamba mtu yeyote atakayeondoka katika milango ya nyumba yako na kwenda nje,+ damu yake itakuwa juu ya kichwa chake mwenyewe, nasi hatutakuwa na hatia; na kila mtu atakayeendelea kukaa nawe ndani ya nyumba, damu yake itakuwa juu ya vichwa vyetu ikiwa mkono utanyooshwa juu yake.

  • Ezekieli 18:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ametoa kwa riba,+ na amechukua faida,+ naye hakika hataendelea kuishi. Ameyafanya machukizo hayo yote.+ Hakika atauawa. Damu yake mwenyewe itakuwa juu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki