Methali 11:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mkono ujaposhikana na mkono, mtu mbaya hatakosa kupewa adhabu;+ lakini uzao wa waadilifu hakika utaponyoka.+ Waefeso 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtu yeyote asiwadanganye ninyi kwa maneno matupu,+ kwa maana kwa sababu ya mambo yaliyotangulia kusemwa ghadhabu ya Mungu inakuja juu ya wana wa kutotii.+ Waebrania 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+
21 Mkono ujaposhikana na mkono, mtu mbaya hatakosa kupewa adhabu;+ lakini uzao wa waadilifu hakika utaponyoka.+
6 Mtu yeyote asiwadanganye ninyi kwa maneno matupu,+ kwa maana kwa sababu ya mambo yaliyotangulia kusemwa ghadhabu ya Mungu inakuja juu ya wana wa kutotii.+
4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+