6 Naye hakuwaua wana wa wale waliompiga na kumuua, kulingana na yale ambayo yameandikwa katika kitabu cha sheria ya Musa ambayo Yehova aliamuru, akisema:+ “Akina baba wasiuawe kwa sababu ya wana, na wana wasiuawe kwa sababu ya akina baba; bali kila mmoja auawe kwa sababu ya dhambi yake mwenyewe.”+