Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 24:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Akina baba wasiuawe kwa sababu ya watoto, na watoto wasiuawe kwa sababu ya akina baba.+ Kila mmoja atauawa kwa sababu ya dhambi yake mwenyewe.+

  • 2 Wafalme 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye hakuwaua wana wa wale waliompiga na kumuua, kulingana na yale ambayo yameandikwa katika kitabu cha sheria ya Musa ambayo Yehova aliamuru, akisema:+ “Akina baba wasiuawe kwa sababu ya wana, na wana wasiuawe kwa sababu ya akina baba; bali kila mmoja auawe kwa sababu ya dhambi yake mwenyewe.”+

  • Yeremia 31:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Lakini kila mmoja atakufa kwa sababu ya kosa lake mwenyewe.+ Mtu yeyote atakayekula zabibu mbichi, meno yake ndiyo yatakayotiwa ukakasi.”

  • Ezekieli 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tazama! Nafsi zote—ni zangu.+ Kama ilivyo nafsi+ ya baba ndivyo ilivyo nafsi ya mwana—ni zangu.+ Nafsi inayotenda dhambi+—hiyo yenyewe itakufa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki