Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 25:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye hakuwaua wana wao, bali alifanya kulingana na yale ambayo yameandikwa katika sheria, katika kitabu cha Musa,+ ambayo Yehova aliamuru, akisema: “Akina baba wasife kwa sababu ya wana,+ wala wana wasife kwa sababu ya akina baba;+ bali kila mmoja afe kwa sababu ya dhambi yake mwenyewe.”+

  • Yeremia 31:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Lakini kila mmoja atakufa kwa sababu ya kosa lake mwenyewe.+ Mtu yeyote atakayekula zabibu mbichi, meno yake ndiyo yatakayotiwa ukakasi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki