Kumbukumbu la Torati 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Akina baba wasiuawe kwa sababu ya watoto, na watoto wasiuawe kwa sababu ya akina baba.+ Kila mmoja atauawa kwa sababu ya dhambi yake mwenyewe.+
16 “Akina baba wasiuawe kwa sababu ya watoto, na watoto wasiuawe kwa sababu ya akina baba.+ Kila mmoja atauawa kwa sababu ya dhambi yake mwenyewe.+