Hesabu 35:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 naye mlipiza-kisasi+ cha damu amkute nje ya mpaka wa lile jiji la makimbilio, na yule mlipiza-kisasi cha damu amuue yule muuaji asiyekusudia, yeye hana hatia ya damu. Methali 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mfalme anaketi juu ya kiti cha hukumu,+ akitawanya ubaya wote kwa macho yake.+ Methali 20:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mfalme mwenye hekima anawatawanya watu waovu,+ naye huzungusha gurudumu juu yao.+
27 naye mlipiza-kisasi+ cha damu amkute nje ya mpaka wa lile jiji la makimbilio, na yule mlipiza-kisasi cha damu amuue yule muuaji asiyekusudia, yeye hana hatia ya damu.