Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mungu wa Israeli alisema,

      Mwamba wa Israeli aliniambia,+

      ‘Wakati yeye anayetawala juu ya wanadamu ni mwadilifu,+

      Akitawala kwa kumwogopa Mungu,+

  • 1 Wafalme 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye Sulemani akaketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi baba yake;+ na hatua kwa hatua ufalme wake ukafanywa kuwa imara sana.+

  • 1 Wafalme 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nao Ukumbi wa Kiti cha Ufalme+ ambapo alikuwa afanyie hukumu, akaufanya ukumbi wa hukumu;+ nao wakaufunika kwa mbao za mwerezi kuanzia kwenye sakafu mpaka kwenye maboriti.+

  • Mathayo 19:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Yesu akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Katika uumbaji-mpya Mwana wa binadamu atakapoketi juu ya kiti chake cha ufalme chenye utukufu, ninyi ambao mmenifuata mtaketi pia juu ya viti vya ufalme kumi na viwili, mkiyahukumu yale makabila kumi na mawili ya Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki