Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 1:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Na zaidi ya hayo, Sulemani ameketi juu ya kiti cha ufalme.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na Sulemani akaanza kuketi juu ya kiti cha ufalme cha Yehova+ akiwa mfalme mahali pa Daudi baba yake, akafanikiwa,+ na Israeli wote walikuwa wakimtii.

  • 2 Mambo ya Nyakati 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Naye Sulemani mwana wa Daudi akaendelea kupata nguvu katika ufalme wake,+ na Yehova Mungu wake alikuwa pamoja naye,+ akaendelea kumfanya kuwa mkuu zaidi.+

  • Zaburi 132:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ikiwa wana wako watalishika agano langu+

      Na vikumbusho vyangu ambavyo nitawafundisha,+

      Wana wao pia milele+

      Wataketi juu ya kiti chako cha ufalme.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki