1 Wafalme 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye Sulemani akaketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi baba yake;+ na hatua kwa hatua ufalme wake ukafanywa kuwa imara sana.+ 1 Mambo ya Nyakati 29:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na Sulemani akaanza kuketi juu ya kiti cha ufalme cha Yehova+ akiwa mfalme mahali pa Daudi baba yake, akafanikiwa,+ na Israeli wote walikuwa wakimtii. Zaburi 132:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova amemwapia Daudi,+Kwa kweli hataliacha:+“Kati ya uzao wa tumbo lako+Nitaweka juu ya kiti chako cha ufalme.+
12 Naye Sulemani akaketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi baba yake;+ na hatua kwa hatua ufalme wake ukafanywa kuwa imara sana.+
23 Na Sulemani akaanza kuketi juu ya kiti cha ufalme cha Yehova+ akiwa mfalme mahali pa Daudi baba yake, akafanikiwa,+ na Israeli wote walikuwa wakimtii.
11 Yehova amemwapia Daudi,+Kwa kweli hataliacha:+“Kati ya uzao wa tumbo lako+Nitaweka juu ya kiti chako cha ufalme.+