1 Mambo ya Nyakati 29:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na Sulemani akaketi kwenye kiti cha ufalme cha Yehova+ akiwa mfalme baada ya Daudi baba yake, akafanikiwa, na Waisraeli wote walimtii. 1 Mambo ya Nyakati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 29:23 Furahia Maisha Milele!, somo la 32 Ufahamu, uku. 132
23 Na Sulemani akaketi kwenye kiti cha ufalme cha Yehova+ akiwa mfalme baada ya Daudi baba yake, akafanikiwa, na Waisraeli wote walimtii.