-
1 Wafalme 8:25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Na sasa, Ee Yehova Mungu wa Israeli, umtimizie mtumishi wako Daudi baba yangu yale uliyomwahidi, ukisema, ‘Mwanamume wa kwako hatakatiliwa mbali mbele zangu asiketi juu ya kiti cha ufalme cha Israeli,+ ikiwa tu wana wako wataangalia njia yao kwa kutembea mbele zangu kama vile ambavyo wewe umetembea mbele zangu.’
-
-
2 Mambo ya Nyakati 6:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Na sasa, Ee Yehova Mungu wa Israeli, umtimizie mtumishi wako Daudi baba yangu yale uliyomwahidi, ukisema, ‘Mwanamume wa kwako hatakatiliwa mbali mbele zangu asiketi juu ya kiti cha ufalme cha Israeli,+ ikiwa tu wana wako+ wataangalia njia yao kwa kutembea katika sheria yangu+ kama vile ambavyo wewe umetembea mbele zangu.’+
-
-
Isaya 9:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Hakutakuwa na mwisho kwa habari ya wingi wa huo utawala wa kifalme+ na kwa amani,+ juu ya kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wake ili kuufanya imara+ na kuutegemeza kwa njia ya haki+ na kwa njia ya uadilifu,+ kuanzia sasa na kuendelea mpaka wakati usio na kipimo. Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo.+
-