Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na sasa, Ee Yehova Mungu wa Israeli, umtimizie mtumishi wako Daudi baba yangu yale uliyomwahidi, ukisema, ‘Mwanamume wa kwako hatakatiliwa mbali mbele zangu asiketi juu ya kiti cha ufalme cha Israeli,+ ikiwa tu wana wako wataangalia njia yao kwa kutembea mbele zangu kama vile ambavyo wewe umetembea mbele zangu.’

  • 1 Mambo ya Nyakati 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nitamsimamisha katika nyumba+ yangu na katika ufalme+ wangu mpaka wakati usio na kipimo, na kiti chake cha ufalme+ kitadumu mpaka wakati usio na kipimo.”’”

  • 2 Mambo ya Nyakati 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na sasa, Ee Yehova Mungu wa Israeli, umtimizie mtumishi wako Daudi baba yangu yale uliyomwahidi, ukisema, ‘Mwanamume wa kwako hatakatiliwa mbali mbele zangu asiketi juu ya kiti cha ufalme cha Israeli,+ ikiwa tu wana wako+ wataangalia njia yao kwa kutembea katika sheria yangu+ kama vile ambavyo wewe umetembea mbele zangu.’+

  • Zaburi 89:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Uzao wake mwenyewe utakuwako mpaka wakati usio na kipimo,+

      Na kiti chake cha ufalme kama vile jua lilivyo mbele zangu.+

  • Isaya 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hakutakuwa na mwisho kwa habari ya wingi wa huo utawala wa kifalme+ na kwa amani,+ juu ya kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wake ili kuufanya imara+ na kuutegemeza kwa njia ya haki+ na kwa njia ya uadilifu,+ kuanzia sasa na kuendelea mpaka wakati usio na kipimo. Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo.+

  • Mathayo 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, wanaume wawili vipofu+ wakamfuata, wakipaaza sauti na kusema: “Uturehemu,+ Mwana wa Daudi.”

  • Matendo 2:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kwa hiyo, kwa sababu alikuwa nabii na alijua kwamba Mungu alikuwa amemwapia kwa kiapo kwamba angemketisha mmoja kutoka kati ya uzao wa viuno vyake juu ya kiti chake cha ufalme,+

  • Waroma 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 kuhusu Mwana wake, aliyetokana na uzao wa Daudi+ kulingana na mwili,+

  • Waroma 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na tena Isaya anasema: “Patakuwa na mzizi wa Yese,+ na patakuwa na mmoja ambaye atasimama ili kutawala mataifa;+ na mataifa yatamtumainia yeye.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki