5 “Na kiti cha ufalme hakika kitafanywa imara kwa fadhili zenye upendo;+ na mtu ataketi juu yake katika ukweli ndani ya hema la Daudi,+ akihukumu na kutafuta haki na kuwa mwenye haraka kufanya uadilifu.”+
30 Mimi siwezi kufanya lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe; kama vile ninavyosikia, ndivyo ninavyohukumu; na hukumu ninayotoa ni ya uadilifu,+ kwa sababu ninatafuta, si mapenzi yangu mwenyewe, bali mapenzi+ yake aliyenituma.