Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 2:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Wakati huo kile chuma, ule udongo uliofinyangwa, ile shaba, ile fedha na ile dhahabu, zote pamoja, zilipondwa na kuwa kama makapi yanayotoka kwenye uwanja wa kupuria wa wakati wa kiangazi,+ kisha upepo ukazipeleka mbali hivi kwamba alama zake hazikuonekana hata kidogo.+ Na lile jiwe lililoipiga sanamu ile likawa mlima mkubwa, na kuijaza dunia yote.+

  • Danieli 2:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 “Na katika siku za wafalme hao,+ Mungu wa mbinguni+ atausimamisha ufalme+ ambao hautaharibiwa kamwe.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao utasimama mpaka wakati usio na kipimo;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki