Zaburi 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+ Ufunuo 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nikaona kiti cha ufalme kikubwa cheupe na yeye aliyeketi juu yake.+ Dunia na mbingu zikakimbia kutoka mbele zake,+ na mahali popote hapakupatikana kwa ajili ya hizo.
10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+
11 Nami nikaona kiti cha ufalme kikubwa cheupe na yeye aliyeketi juu yake.+ Dunia na mbingu zikakimbia kutoka mbele zake,+ na mahali popote hapakupatikana kwa ajili ya hizo.