23 katika kusanyiko kuu,+ na kutaniko la wazaliwa wa kwanza+ ambao wameandikishwa+ mbinguni, na Mungu Mwamuzi wa wote,+ na maisha ya kiroho+ ya waadilifu ambao wamefanywa wakamilifu,+
2 Baada ya mambo haya mara moja nikawa katika nguvu za roho: na, tazama! kiti cha ufalme+ kilikuwa mahali pake mbinguni,+ na kuna yule aliyeketi juu ya kile kiti cha ufalme.+