Zaburi 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu. Matendo 7:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Lakini yeye, akiwa amejaa roho takatifu, akakaza macho mbinguni, akaona utukufu wa Mungu na wa Yesu akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu,
4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu.
55 Lakini yeye, akiwa amejaa roho takatifu, akakaza macho mbinguni, akaona utukufu wa Mungu na wa Yesu akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu,