Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 naye akasema:+

      “Ee Yehova Mungu wa mababu zetu,+ je, wewe si Mungu mbinguni,+ na je, wewe hutawali juu ya falme zote za mataifa,+ na je, mkononi mwako hamna nguvu na uwezo, wala hakuna anayeweza kusimama imara kupingana nawe?+

  • Zaburi 103:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yehova amekifanya imara kiti chake cha ufalme mbinguni;+

      Nao ufalme wake mwenyewe umetawala juu ya kila kitu.+

  • Mathayo 23:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 naye anayeapa kwa mbingu anaapa kwa kiti cha ufalme cha Mungu+ na kwa yeye anayeketi juu yake.

  • Matendo 7:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 ‘Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ nayo dunia ni kiti cha miguu+ yangu. Mtanijengea nyumba ya aina gani? Asema Yehova. Au mahali pangu pa kupumzika pako wapi?+

  • Ufunuo 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baada ya mambo haya mara moja nikawa katika nguvu za roho: na, tazama! kiti cha ufalme+ kilikuwa mahali pake mbinguni,+ na kuna yule aliyeketi juu ya kile kiti cha ufalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki