11 Tuliposikia hayo, ndipo mioyo yetu ikaanza kuyeyuka,+ wala roho yoyote haijaamka bado ndani ya mtu yeyote kwa sababu yenu,+ kwa kuwa Yehova Mungu wenu ni Mungu juu mbinguni na chini duniani.+
23 naye akaendelea kusema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli,+ hakuna Mungu kama wewe+ juu mbinguni wala chini duniani, anayeshika agano na fadhili zenye upendo+ kwa watumishi wako+ wanaotembea mbele zako kwa moyo wao wote,+