17Abramu alipokuwa na umri wa miaka 99, Yehova akamtokea Abramu na kumwambia:+ “Mimi ni Mungu Mweza-Yote.+ Tembea mbele zangu nawe ujionyeshe kuwa huna kosa.+
3 “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.”+ Na Hezekia akaanza kulia sana.+