Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 1:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na juu ya anga lililokuwa juu ya kichwa chao kulikuwa na kitu kinachoonekana kama jiwe la yakuti,+ mfano wa kiti cha ufalme.+ Na juu ya kile kitu chenye mfano wa kiti cha ufalme kulikuwa na mfano wa mtu anayeonekana kama mtu wa udongo juu yake,+ upande wa juu.

  • Danieli 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Nikaendelea kutazama mpaka viti vya ufalme vikawekwa+ na Mzee wa Siku+ akaketi. Mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji,+ na nywele za kichwa chake zilikuwa kama sufu safi.+ Kiti chake cha ufalme kilikuwa ni miali ya moto;+ magurudumu yake yalikuwa ni moto unaowaka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki