Ezekieli 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Juu ya anga lililokuwa juu ya vichwa vyao kulikuwa na kitu kilichoonekana kama jiwe la yakuti,+ na kilifanana na kiti cha ufalme.+ Kwenye kiti hicho cha ufalme aliketi mmoja aliyeonekana kama mwanadamu.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:26 Ibada Safi, kur. 33, 39-40
26 Juu ya anga lililokuwa juu ya vichwa vyao kulikuwa na kitu kilichoonekana kama jiwe la yakuti,+ na kilifanana na kiti cha ufalme.+ Kwenye kiti hicho cha ufalme aliketi mmoja aliyeonekana kama mwanadamu.+