10 nao wakamwona Mungu wa Israeli.+ Chini ya miguu yake palikuwa na kitu kilichoonekana kama sakafu ya yakuti, nacho kilikuwa safi kama mbingu zenyewe.+
10Nilipokuwa nikitazama, niliona juu ya anga lililokuwa juu ya vichwa vya makerubi kitu kama jiwe la yakuti kikitokea juu yao, nacho kilifanana na kiti cha ufalme.+