Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika mwaka ambao Mfalme Uzia alikufa,+ nilimwona Yehova akiwa ameketi kwenye kiti cha ufalme kilicho juu na kilichoinuliwa,+ na pindo za kanzu yake zilijaa hekaluni.

  • Ezekieli 1:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Juu ya vichwa vya wale viumbe hai kulikuwa na mfano wa anga lililometameta kama barafu inayotisha, lililotanda juu ya vichwa vyao.+

  • Ezekieli 1:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Juu ya anga lililokuwa juu ya vichwa vyao kulikuwa na kitu kilichoonekana kama jiwe la yakuti,+ na kilifanana na kiti cha ufalme.+ Kwenye kiti hicho cha ufalme aliketi mmoja aliyeonekana kama mwanadamu.+

  • Ufunuo 4:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baada ya hayo mara moja nikawa katika nguvu za roho, na tazama! kiti cha ufalme kilikuwa mahali pake mbinguni, na kulikuwa na mtu aliyeketi kwenye kile kiti.+ 3 Na Yule aliyeketi alionekana kama jiwe la yaspi+ na jiwe jekundu lenye thamani, na kuzunguka kile kiti cha ufalme kulikuwa na upinde wa mvua ulioonekana kama zumaridi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki