26 Juu ya anga lililokuwa juu ya vichwa vyao kulikuwa na kitu kilichoonekana kama jiwe la yakuti,+ na kilifanana na kiti cha ufalme.+ Kwenye kiti hicho cha ufalme aliketi mmoja aliyeonekana kama mwanadamu.+
3 Na Yule aliyeketi alionekana kama jiwe la yaspi+ na jiwe jekundu lenye thamani, na kuzunguka kile kiti cha ufalme kulikuwa na upinde wa mvua ulioonekana kama zumaridi.+