Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 22:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye akaendelea kusema: “Basi sikia neno la Yehova:+ Hakika ninamwona Yehova ameketi juu ya kiti chake cha ufalme+ na jeshi lote la mbinguni limesimama kando yake, upande wake wa kuume na upande wake wa kushoto.+

  • Zaburi 99:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 99 Yehova amekuwa mfalme.+ Vikundi vya watu na vifadhaike.+

      Anaketi juu ya makerubi.+ Dunia na itetemeke.+

  • Isaya 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika mwaka ule aliokufa Mfalme Uzia,+ mimi, hata hivyo, nilimwona Yehova,+ akiwa ameketi juu ya kiti cha ufalme+ kilicho juu na kilichoinuliwa, na pindo za nguo yake zilikuwa zimelijaza hekalu.+

  • Ufunuo 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baada ya mambo haya mara moja nikawa katika nguvu za roho: na, tazama! kiti cha ufalme+ kilikuwa mahali pake mbinguni,+ na kuna yule aliyeketi juu ya kile kiti cha ufalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki